FAIDA NA FURSA ZA KUJIFUNZA UPISHI WA KEKI


Kujifunza upishi wa keki kuna faida na fursa nyingi ambazo zinaweza kukuletea mafanikio binafsi na kifedha.


Baadhi ya faida hizo ni pamoja na:


UJUZI WA THAMANI


Kujifunza mbinu za kuoka keki za aina mbalimbali.


Kupata ujuzi wa kupamba keki kwa ustadi.


Kuelewa kanuni za sayansi ya chakula na jinsi zinavyotumika katika kuoka keki.


Kupata ujuzi wa biashara na ujasiriamali kama unataka kuuza keki zako.


FURSA ZA KAZI


Kuanzisha biashara yako ya kuoka keki nyumbani au kama duka.


Huduma za keki kwa hafla mbalimbali kama vile harusi, sherehe za kuzaliwa  na matukio mengine.


Kupata kazi katika mkahawa, hoteli, au duka la keki.


Kufundisha madarasa ya upishi wa keki.


Kuandika blogu au kitabu cha mapishi ya keki.


Kushiriki katika mashindano ya kuoka keki.


KURIDHIKA KIBINAFSI


Kuweza kuoka keki za kupendeza kwa ajili ya familia na marafiki.


Kupata ubunifu na kujieleza kupitia mapambo ya keki.


Kufurahia shughuli ya kuoka yenye utulivu na ya kufurahisha.


Kujenga kujiamini na kujithamini kwa ujuzi wako.


FURSA ZA ZIADA


_Kujifunza kuhusu utamaduni na mila tofauti kupitia keki za kitamaduni.


_Kuunganishwa na jamii ya wapishi wa keki na wabunifu.


_Kusaidia wengine kwa kuwafundisha jinsi ya kuoka keki.


MAHALI PA KUJIFUNZA UPISHI WA KEKI


Kuna njia nyingi za kujifunza upishi wa keki, zikiwemo:


_Kuchukua madarasa ya upishi wa keki katika shule ya upishi au kituo cha jamii.


_Kusoma vitabu vya mapishi ya keki na kutazama video za mafunzo mtandaoni.


_Kujifunza kutoka kwa mpishi wa keki mwenye uzoefu.


_Kujiunga na klabu ya upishi wa keki au jumuiya ya mtandaoni.


MUHUMU: Kujifunza upishi wa keki ni ujuzi wa thamani ambao unaweza kukuletea mafanikio binafsi na kifedha.


Kuna faida na fursa nyingi zinazopatikana kwa wale ambao wako tayari kujifunza na kujitolea.


Ikiwa una shauku ya kuoka keki, ninakuhimiza uanze kujifunza leo.


Utapata ujuzi mpya, fursa mpya, na kuridhika kibinafsi.


Ikiwa wewe ni mmojawapo wa wale wenye shauku ya kujifunza "Upishi wa Keki"


Ninakualika katika darasa langu la kujifunza Upishi wa keki


Wasiliana nami sasa!


🔥🔥[ MPYA]🔥🔥


"Mwongozo Kamili wa Upishi wa Keki: Fursa ya Pekee  ya Kujifunza na Kufurahia Sanaa ya Upishi wa Keki"


Keki za kuvutia, tamu na za kupendeza zinaweza kuwa karibu yako!


Tunakuletea kitabu cha pekee, "Mwongozo wa Upishi wa Keki kwa Wanaoanza," kilichojaa maelekezo rahisi na ya kina ya kutengeneza keki za kushangaza.


Je, wewe ni mpenzi wa kupika na unapenda kujifunza mapishi mapya?


Au labda ni mara yako ya kwanza kabisa kujaribu kupika keki? Kitabu hiki ni kwa ajili yako!


Kimeandikwa kwa lugha rahisi na kinatoa mwongozo kamili kuanzia hatua za awali hadi hatua za juu za upishi wa keki.


Hivyo, hautahitaji kuwa na uzoefu wowote wa awali kuweza kupika keki zako za kipekee.


Vipengele muhimu vya kitabu hiki ni pamoja na:

1. Maelezo ya kina kuhusu vifaa na viungo muhimu katika upishi wa keki.

2. Miongozo ya hatua kwa hatua inayoelezea mchakato mzima wa kutengeneza keki.

3. Mapishi mbalimbali ya keki kama vile  keki ya Vanilla, keki ya chungwa, keki nyekundu ya Velvet (Red Velvet cake), keki ya zebra, keki ya ndizi, keki ya nazi, keki ya chokoleti, orange cake, zebra cake, keki ya karoti n.k. na hata keki maalum za sherehe na hafla maalum.

4. Mbinu za mapambo ya keki na vidokezo vya kufanya keki yako ionekane ya kitaalamu na yenye mvuto.

5. Vidokezo vya kuhifadhi na kudumisha ubora wa keki zako.


Njia rahisi ya kupata nakala yako ya "Mwongozo wa Upishi wa Keki kwa Wanaoanza" ni kutuandikia ujumbe kwa WhatsApp 0628 396 474 Au  
Click Here

Bei ya ofa ya kitabu hiki ni Tsh 20,000/= (badala ya Tsh 25,000/=)


Hii ni fursa nzuri ya kupata maarifa ya thamani na kujifunza sana kuhusu upishi wa keki.


Wahi sasa na usikose nafasi ya kuwa mpishi bora wa keki!


Jinsi ya Kununua


Wasiliana nasi kupitia WhatsApp kwa nambari 0628 396 474. Tuma fedha kwenda nambari ya MPESA +255 750 607 944 jina IZRAEL LULANDALA


Baada ya kupokea malipo yako, kitabu Cha nakala tete (soft copy utatumiwa kupitia WhatsApp au barua pepe yako.

Usikose ofa hii Ni ya muda mfupi.

JINA LA BIASHARA_Faida zake na Namna ya Kusajili Jina la Biashara, ukiwa wewe mwenyewe.

Je, wewe ni mfanyabiashara? Biashara yako yako ina jina la Biashara. Kama jibu ni ‘HAPANA’ makala hii ni muhimu sana kwako!

Je, umewahi kusikia chochote kuhusu Usajili wa Jina la Biashara?

Je, Jina la Biashara yako imesajiliwa? Kama jibu ni ‘HAPANA’ makala hii ni muhimu sana kwako!

Je, ungetamani sana kulisajili Jina la Biashara, lakini haujui namna gani ya kusajili?

Nasema ni muhimu kwa sababu, mara baada ya kuisoma makala hii  kwa umakini, utaelewa mambo mengi sana ikiwemo faida za jina la biashara, Kwanini jina la biashara pamoja na hatua za kulisajili jina lako la biashara.

Kabla ya kukupa majibu ya maswali yako, Soma kwanza stori hii ya Ukweli kuhusu mimi.

Mwaka 2020, ndipo niliposikia kuhusu Usajili wa Jina la Biashara kupitia BRELA ORS, kupitia mafunzo ya kundi la whatsApp. Nilielezwa faida zake za kusajili jina la Biashara, sifa za jina linalokubalika kisheria na vitu vinavyopaswa kuwa navyo ili kufanikisha hilo.

Mara baada ya kuelewa kuhusiana na Jina la Biashara, nilianza kufuatilia usajili wa jina la Taasisi yangu inayoitwa ‘ELIMU KITAA FOUNDATION’. Niliweza kusajili jina hilo kupitia BRELA ORS kwa gharama kubwa kidogo na hii ilichagizwa na kutofahamu kwamba naweza kufanya mwenyewe bila kumlipa mtu.

Siku moja nilianza kufuatilia namna ambavyo usajili huu kupitia BRELA unafanyika. Ndipo nilipoweza kusajili jina la biashara yenye jina ‘JFG ENTERPRISES’ kwa gharama nafuu zaidi na kuweza kuokoa zaidi ya Tsh 30K.

Hii ndiyo sababu iliyonisukuma kuandika kitabu hiki ili kukusaidia wewe kufanya usajili wa Jina la biashara, kampuni na alama za bidhaa au huduma.

KITABU hiki ni suluhisho kwako na ni muhimu zaidi kwako rafiki yangu. Kwa sababu itakupunguzia gharama ambazo ungepaswa kulipa kwa wale ambao watakusaidia kufanya hilo. Pia utaweza kufanya usajili ukiwa wewe mwenyewe ukiwa popote!

BONYEZA HAPA KUPATA MAELEZO ZAIDI

Je, JINA LA BIASHARA ni nini?

Jina la biashara ni utambulisho ambao umeamua biashara yako ifahamike/biashara na kuitwa kwa jina hilo.

Jina la biashara ni jina ambalo hutumika kutambulisha bidhaa, huduma au shughuli za biashara.

Jina la biashara ni utambulisho wa huduma, bidhaa au shughuli zako.

Jina unalotumia katika biashara yako, Mfano MARIAM BEAUTY SALON, JFG ENTERPRISES na kadhalika, linaitwa jina la Biashara.

Jina hilo si halali, kama halijasajiliwa, pia si jina lako kwa kuwa yeyote anaweza kulitumia jina hilo, jambo ambalo linapelekea mkanganyiko kwa wateja wako.

Unaweza pia kulipoteza jina hilo endapo mtu mwingine akajitokeza na kwenda kulisajili na akakuzuia kulitumia.

Hata kama jina la biashara ni zuri sana na unalipenda, usipolisajili hauna uhalali wa kulitumia jina hilo.

Uzuri wa Jina la Biashara lina sifa kuu pekee ambayo ni kutofanana na jina la mtu mwingine.

Na ili kuzuia kutotumiwa na mtu mwingine kwa kulisajili katika mamlaka husika, hivyo kulipa uhalali jina lako la biashara nawe utakuwa huru kulitumia wakati wowote ule.

Jina la biashara husajiliwa kwa Msajili wa Biashara na Makampuni (BRELA). Ada ya Usajili ni sh 20,000/- kiasi ambacho kila mfanyabishara anao uwezo wa kuipata.

BRELA wamerahisisha sana kwa sasa, ambapo hautakiwi kufika ofisini kwao, badala yake unaweza kusajili jina lako la biashara na kukamilisha kwa njia ya mtandao (BRELA ORS).

Kupitia BRELA ORS unaweza kufanya yafuatayo;

a)Usajili wa jina  la biashara (Registration of new business name)

b)Malipo ya ada ya mwaka ya uendeshaji (Payment of annual maintenance name)

c)Kukoma kwa jina la biashara (Cessation of business name)

d)Mabadiliko ya taarifa za jina la biashara (Change of particulars of business name)

e)Uhuishaji wa taarifa mpya za jina la biashara lililopo (Data update of an existing business name).

Ndani ya kitabu hiki nimekuonyesha mambo mengi kuhusiana na usajili wa jina la Biashara. Uzuri ni kwamba nimekuonyesha kwa lugha kwa njia rahisi sana.

Ndani ya kitabu, utajifunza yafuatayo;

1.      Maana ya Jina la Biashara

2.      Sifa za jina la Biashara linalokubalika kisheria na linaloweza kusajilika

3.      Mchango wa jina la Biashara katika soko la ushindani

4.      Faida 10 za kusajili jina la biashara

5.      Hatua 10 za kufuata ili uweze kusajili ili uweze kusajili jina la biashara kwa urahisi zaidi.

Kitabu hiki kina thamani ya Tsh 15,000+ Lakini ili kukusaidia leo utakipata kwa Tsh 4,999/= pekee okoa zaidi ya 10k+ BONYEZA HAPA KUPATA KITABU

Kukipata kitabu hiki, Tuma Tsh 4,999/= kwenda LIPA NO VODA 5776586 yenye jina la JOSHUA GOLYAMA. Kisha tutumie uthibitisho whatsApp no +255 764 257 495 na utatumiwa kitabu ndani ya dakika moja tu.

HUDUMA YA BURE

Ndugu yangu mpendwa, Asante kutuamini na kuweza kukuhudumia. Kwetu sisi wewe ni wa muhimu sana, tunathamini sana uchaguzi wako ambao umeufanya.

Kila ifikapo siku ya ijumaa, sisi kama kampuni hutoa huduma bure au punguzo kubwa la bei.

Tunaamini kuna baraka katika kufanya jambo hili, ndio maana tunaendelea kulifanya kila wakati na bila kuacha.

Unachotakiwa kufanya ni kuchagua huduma mojawapo kati ya zile tuzitoazo (zimeorodheshwa hapa chini). Kisha kuwasiliana nasi ili kuweza kuhudumiwa.

Asante kwa kuwa uko tayari kuhudumiwa na sisi na pengine kuipata huduma hii ya bure siku hii ya leo "Ijumaa"

*MAKUBALIANO*

⏩Nitawasaidia kuwaambia wengine huduma ambazo zinatolewa nanyi kwa kadiri nitakavyopata nafasi.

⏩ Nitakuwa tayari kufanya kazi nanyi (kuhudumiwa) pindi nitakapohitaji huduma kutoka kwenu.

...Hongera kwa kuyasoma makubalianl haya.. 

Ikiwa uko tayari.... BOYEZA HAPA KUJA WASAP

Sisi tunakuahidi yafuatayo;

⏩ Kukuhudumia wewe kwa ubora na uharaka wa hali ya juu.

⏩ Hatutakulipisha kiasi chochote cha fedha kwa huduma ambayo umeichagua.

⏩ Tutakuhudumia kwa namna ile ile ambayo ungehudumiwa pindi umelipa fedha ya huduma.

.... Ni furaha yetu kukuhudumia leo kama sadaka yetu kwako.

Bonyeza maandishi haya >>>BOYEZA HAPA KUJA WASAP ili tuweze kukuhudumia.

HUDUMA ZITOLEWAZO NA SISI

1. Huduma za Stationeries kama Printing, Scanning, Photocopying, Laminating, Typing.

2. Huduma za Uandishi na Uhariri-Uandishi wa Wasifu binafsi (CV), Barua za maombi ya kazi (Cover letters), Uandishi wa Vitabu, Usanifu wa Jalada la nje la Kitabu (Book Cover Designing), Typesetting, Layouting, Proofreading and Editing.

3. Usaidizi wa Usajili wa Majina ya Biashara (Business name Registration), Usajili wa Kampuni (Company registration), Usajili wa Alama za huduma/Biashara (LOGO).

4. Maombi ya kazi, Utengenezaji wa akaunti za Ajira Portal, Tamisemi Portal, TAHESA, na zinginezo.

5. Maombi ya Ufadhili wa Masomo (Scholarship and Sponsorship)

6. Maombi ya TIN number kutoka TRA, Passport kwa Njia ya Mtandao, Maombi ya Mkopo (HESLB, Bodi ya Zanzibar), Maombi ya Vyuo, Uhakiki wa Vyeti RITA.

7. Graphics Design kwa namna zote.

8. Uandishi wa Mpango wa Biashara (Business Plan), Project proposal, Research project proposal and Report, Dissertation and Thesis. Pia Data Analysis and Interpretation.

Natumai umeelewa hadi sasa, BOYEZA HAPA KUJA WASAP

Asante sana, Ofa hii ni kwa SIKU ZA IJUMAA pekee!.

Joshua Golyama.

WhatsApp


Morogoro, Tanzania.

See You Shining and Enjoying the Cake

(JFG General Enterprises)

KUHUSU JFG-GENERAL ENTERPRISES

Tunawasaidia wafanyabiashara na watoa huduma mbalimbali kusajili Majina ya biashara zao kisheria. Usajili wa Kampuni pamoja na alama za biashara au huduma (LOGO). Tunatoa elimu juu ya faida za kusajili jina la biashara, kampuni pamoja na alama za biashara/huduma.

Tunatoa huduma zinazohusu Vitabu, Upangaji wa vitabu, Uhariri wa vitabu, Usanifu wa majalada ya vitabu na kupitia vitabu (Book typesetting and layouting, Book cover designing and Proof reading). Lengo ni kuvifanya vitabu kuwa na mwonekano mzuri na mpangilio unaomvutia msomaji.

Tunawasaidia wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu katika UANDISHI wa Research proposals, Research Report, Thesis and Dissertation. Pia Tunaandika Thesis, Dissertation na Special Project Proposals pamoja na Uchakati wa Data (Data analysis)

Tunawasaidia waombaji wa kazi katika shughuli nzima ya kuomba kazi kwa kutoa maelekezo na kuandika wasifu binafsi, Barua ya maombi ya kazi, Kufungua akaunti za ajira kama vile Ajira Portal, Tamisemi Portal, Taesa na zinginezo. Pia, Maombi ya kazi (Job application, Sponsorship application e.t.c)


bonyeza hapa kuja whatsapp moja kwa moja