Je, Unahitaji Kusajili
1⃣ JINA LA BIASHARA.
2⃣ KAMPUNI na
3⃣ ALAMA ZA HUDUMA AU BIDHAA (LANDMARKS, LOGO). Kupitia BRELA ORS?
KAMA ni NDIO, Endelea Kusoma hapa chini.
Tunatoa Usaidizi katika masuala hayo yote! Kukushauri, Kuandaa documents zote na usajili wote kwa Ujumla.
Ukiwa na uhitaji huo, tuna njia 2 za kukusaidia.
1. Tumeandaa kitabu maalumu ambacho kinatoa Mwongozo wa Namna ya Kufanya Usajili, Faida zake na maelekezo yote yanahusiana na Usajili kupitia BRELA.
Kitabu hiki kina thamani ya zaidi 15, 000/=LAKINI ili kukusaidia Leo utakipata kwa Tsh 4999/= pekee okoa 10K+
Kukipata Kitabu, Tuma Tsh 4, 999/= kwenda LIP NO 5776586 yenye Jina la Joshua Golyama. Kisha tutumie uthibitisho whatsApp kwa no +255 764 257 495 na utatumiwa kitabu chako ndani ya Dk moja tu.
2. Tunatoa huduma ya usaidizi w Usajili wa JINA LA BIASHARA, Kampuni na LOGO kwa gharama nafuu.
Tunaadaa MEMARTS na document zote kwa wale wanaotaka Kusajili KAMPUNI.
TUNAPATIKANA MOROGORO MJINI, lakini tunahudumia wateja wanaotoka maeneo yote hapa Nchini Tanzania.
Wasiliana nasi kupitia +255, 764 257 495
KARIBU SANA.
Cart
Cart is empty.